RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Viongozi wa Mifuko ya Jamii Tanzania (TSSA) ukingozwa na Mwenyekiti wa (TSSA ) ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.Bw. Masha John Mshomba.(kulia kwa Rais) na Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF.Balozi Ali Iddi Siwa, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mwenyekiti wa (TSSA) ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa (NSSF) Bw.Masha John Mshomba, baada ya kumaliza mazungumzo yao na Ujumbe wa Viongozi wa Mifuko ya Jamii Tanzania, yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Viongozi wa Mifuko ya Jamii Tanzania (TSSA) ukingozwa na Mwenyekiti wa (TSSA ) ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.Bw. Masha John Mshomba.(kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmes Said, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbve wa Viongozi wa Mifuko ya Jamii Tanzania,baada ya kumaliza mazungumzo yao walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...