Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa mchango wa ujenzi wa kanisa la Hija Parokia ya Mwanjelwa Jimbo kuu Mbeya wa kiasi cha shilingi milioni moja kwa Paroko na Naibu Askofu wa kanisa hilo, Godfrey Mwasekage baada ya misa ya kwanza leo Machi 6, 2022 Jijini Mbeya.Waumini Mbalimbali wa kanisa katoliki wakishiriki misa ya kwanza katika Kanisa la Hija Parokia ya Mwanjelwa Jimbo kuu Mbeya leo Machi 6, 2022 Jijini humo, ambapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson alishiriki katika misa hiyo.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza mbele ya waumini wakati aliposhiriki misa ya kwanza katika Kanisa la Hija Parokia ya Mwanjelwa Jimbo kuu Mbeya leo Machi 6, 2022

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akishiriki misa ya kwanza katika Kanisa la Hija Parokia ya Mwanjelwa Jimbo kuu Mbeya leo Machi 6, 2022.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...