Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea zawadi ya picha ya kuchora yenye taswira yake wakati wa zoezi la uzinduzi wa Kampeni ya Soma na Mti kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo lililofanyika jana katika shule ys Sekondari Karibuni wilayani Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipanda mti kuashiria uzinduzi wa Kampeni ya Soma na Mti kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo lililofanyika jana katika shule ys Sekondari Karibuni wilayani Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza wakati wa kuzindua Kampeni ya Soma na Mti kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo lililofanyika leo Machi 25, 2022 katika shule ya Sekondari Karibuni wilayani Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...