Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima (Kushoto) wakati wa uzinduzi wa mradi wa ushirikiano wa wasindikaji na wazalishaji katika tasnia ya maziwa Tanzania (Tanzania Inclusive Processor- Producer Partnership in Dairy-TI3P),inayoratibiwa kwa ushirikiano kati ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo na Taasisi ya Bill and Melinda Gates, katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam Machi 7, 2022 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima (Kushoto) wakati wa uzinduzi wa mradi wa ushirikiano wa wasindikaji na wazalishaji katika tasnia ya maziwa Tanzania (Tanzania Inclusive Processor- Producer Partnership in Dairy-TI3P),inayoratibiwa kwa ushirikiano kati ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo na Taasisi ya Bill and Melinda Gates, katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam Machi 7, 2022 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...