Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza wakati alipoongoza kikao cha
Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa, kwenye ukumbi wa Hotel Verde jijini
Zanzibar, Machi 6 , 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Baadhi ya Washiriki wa Kikao cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa
wakimsikiliza mwenyekiti wao, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati
alipofungua kikao cha kamati hiyo kwenye ukumbi wa wa Hotel Verde
jijini Zanzibar, Machi 6 , 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana na Rais Mstaafu wa Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, alipomtembelea nyumbani kwake,
Zanzibar Machi 6, 2022 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu wa Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, alipomtembelea nyumbani kwake,
Zanzibar Machi 6, 2022 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Dk. Abdulla Juma Saadalla Mabodi alipomtembelea
nyumbani kwake kumpa pole kufuatia ajali ya ndege iliyomuhusisha mwanaye
Arafat Abdallah Sadala iliyotokea wakati ndege hiyo ikikaribia kutua
katika Uwanja wa Ndege wa Moroni ikitokea katika kisiwa cha Moheli
nchini Comoro, Machi 6 , 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...