Diwani wa Kata ya Azimio, Amina Lalani  (wa tatu kulia) pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashaki, Badru Idd (wa tatu kushoto) wakivuta kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa madarasa matatu yaliyojengwa kwa Ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Shule ya Msingi Twiga, wilayani Temeke katika hafla ya kukabidhi madarasa hayo iliyofanyika Aprili 12, 2022. Wengine pichani ni Afisa Elimu Taaluma Manispaa ya Temeke, Sarah Lisasi (wa pili kulia), Mkuu wa Shule ya Msingi Twiga, Jacquiline Amlungi (kulia), Meneja Mwandamizi wa Uwekezaji kwa Jamii wa Benki ya CRDB, Joyceline Makule (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Temeke, Wema Songoro. 
Diwani wa Kata ya Azimio, Amina Lalani akizungumza katika hafla ya kukabidhi madarasa matatu yaliyojengwa kwa Ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Shule ya Msingi Twiga, wilayani Temeke iliyofanyika Aprili 12, 2022.

Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashaki, Badru Idd akimuonyesha kitu Diwani wa Kata ya Azimio, Amina Lalani (aliyemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegeno) mara baada ya kukabidhi madarasa matatu yaliyojengwa kwa Ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Shule ya Msingi Twiga, wilayani Temeke iliyofanyika Aprili 12, 2022.
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Mashaki, Badru Idd akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa Mkuu wa Shule ya Msingi Twiga, Jacquiline Amlungi katika hafla ya kukabidhi madarasa matatu yaliyojengwa kwa Ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Shule ya Msingi Twiga, wilayani Temeke iliyofanyika Aprili 12, 2022. Wengine pichani kutoka kulia ni Afisa Elimu Taaluma Manispaa ya Temeke, Sarah Lisasi, Diwani wa Kata ya Azimio, Amina Lalani pamoja na Meneja Mwandamizi wa Uwekezaji kwa Jamii wa Benki ya CRDB, Joyceline Makule




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...