Mwenyekiti wa Bodi ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera, Bw. Seif Ally Seif akitoa maelezo kwa wajumbe wa Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) walipotembelea Kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Mishenyi mkoani Kagera.
Bodi ya Wakurugenzi  ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakipewa maelezo  na mtaalamu kuhusu aina za miwa zinazolimwa na katika mashamba ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera walipotembelea Kiwanda hicho mkoani Kagera.
Bodi ya Wakurugenzi  ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakitoka katika Kiwanda cha Sukari cha Kagera baada ya kutembelea maeneo mbalimbali ndani ya Kiwanda hicho.
 Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika kikao na Uongozi wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera walipofanya ziara katika kiwanda hicho kujionea namna kinavyo endeshwa

Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakiwa katika Mgodi wa Dhahabu wa Stamigold mkoani Kagera 


 Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika kikao na Uongozi wa Mgodi wa Dhahabu wa Stamigold mkoani Kagera walipotembelea Mgodi huo unaomilikiwa na serikali kujionea namna unaendeshwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...