Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Balozi wa  Msumbiji Nchini Tanzania Mheshimiwa Ricardo Mtumbuida leo  Aprili 12 2022 ,katika Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.



Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania Mheshimiwa Ricardo Mtumbuida (kushoto) leo  Aprili 12 2022, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akimsindikiza /akiagana na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania Mheshimiwa Ricardo Mtumbuida (kushoto) leo Aprili 12 2022, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Balozi wa  Rwanda Nchini Tanzania Mej. Jen. Charles Kalamba, leo  Aprili 12 2022 ,katika Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.





Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mej. Jen. Charles Kalamba, (kushoto) leo  Aprili 12 2022, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mej. Jen. Charles Kalamba, (kushoto) leo Aprili 12 2022, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam. (Picha  Zote na Fahad Siraji)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...