Na Amiri Kilagalila,Njombe

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa kwa mwaka 2022 Sahili Geraruma ameongoza zoezi la uteketezaji nyavu haramu zilizokamatwa kwa wavuvi wilayani Ludewa mkoani Njombe zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 6,000,000.

Akichoma nyavu hizo Geraruma amewataka maafisa uvuvi wote kutumia vyema taaluma zao kwa kuzuia uingizwaji wa nyavu hizo ambazo zinaleta uharibifu kwa samaki waliopo ziwani.

"Nyavu hizi zina matundu madogo sana hivyo hazifai kutumia kuvulia samaki, kwakuwa nyavu hizi huvua samaki ambao bado wanatakiwa kuendelea kukua ni vyema tukafuata sheria za uvuvi ili na kuvua samaki ambao tayari wamefikia umri wa kuvuliwa".


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...