Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi sadaka ya futari mmoja ya Wananchi wenye mahitaji maalum Bi.Maliha Mahmoud, wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi sadaka ya futari kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi, iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Unguja Jijini Zanzibar.
Wananchi wenye mahitaji maalum wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake wakati wa hafla ya kugawa sadaka ya futari kwa Wananchi hao iliofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square michezani Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi sadaka ya futari mmoja ya Wananchi wenye mahitaji maalum Bw.Salmin Amour, wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi sadaka ya futari kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi, iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Unguja Jijini Zanzibar.
(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...