Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Rais wa Benki ya Dunia Bw. David Malpass mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Benki hiyo Washington DC nchini Marekani leo tarehe 23 Aprili, 2022.








Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Rais wa Benki ya Dunia Bw. David Malpass mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Benki hiyo Washington DC nchini Marekani leo tarehe 23 Aprili, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye mkutano na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bw. Hafez Gharem katika Ofisi za Makao Makuu ya Benki hiyo Jijini Washington DC Marekani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...