Spika Dkt. Tulia ameyasema hayo leo Aprili 19, 2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa saba wa Bunge la bajeti unaoendelea.
"Sisi kama Bunge, tunampongeza Mheshimiwa Rais kwa hatua anazozichukua kwenye hili eneo la kuongeza watalii. Kwakuwa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii itakuja hapa Bungeni baadae basi ni muhimu kila Mbunge kufuatilia mambo yanayoendelea huko ili kama kutakuwa na lolote la kuishauri Serikali itakuwa rahisi zaidi baada ya kujua hatua mbalimbali ambazo zitakuwa zimeshachukuliwa na zile ambazo tutakuwa tunatamani ziongezeke" amesisitiza Spika. Dkt. Tulia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...