Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiongoza kikao cha tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo Aprili 11, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, akiwasilisha taarifa katika kikao cha tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo Aprili 11, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan ZunguSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiongoza kikao cha tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo Aprili 11, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu na Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. George Simbachawene (kulia kwake)

Wajumbe wa tume ya Utumishi wa Bunge wakiwa katika kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo Aprili 11, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Mbunge wa Mtambwe Mhe. Khalifa Mohamed Issa, Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Shangazi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...