Yes...Sasa Ni Zamu Ya Zanzibar Baada Ya Kuzinduliwa Marekani Ikafata Arusha Sasa Ni Rasmi Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh. @samia_suluhu_hassan Anakwenda Zanzibar Na Jopo Zima La Wasanii Wa Bongomovies Na Viongozi Wote Wakiongozwa Na Mwenyekiti Wa Mama Ongea Na Mwanao @stevenyerere2 Kuizindua The Royal Tour.
Hii Sio Ya Kukosa Oyaaa Zanzibar Eeeh 🗣️ Tunakuja May 07 2022
𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐎𝐍𝐆𝐄𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐎 𝐓𝐔𝐏𝐎 𝐏𝐀𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀.
𝐂𝐜 @𝐬𝐭𝐞𝐯𝐞𝐧𝐲𝐞𝐫𝐞𝐫𝐞2



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...