Na WMJJWM- Dodoma

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amekutana na Mwakilishi Mkaazi wa Umoja wa Mataifa (UN) Zlatan Millisic katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma Mei 18, 2022

Katika kikao hicho Dkt. Chaula na Mwakilishi Mkaazi wa UN Zlatan Millisic wamejadiliana masuala mbalimbali ikiwemo uwezeshaji Wanawake kiuchumi, Usawa wa Kijinsia na mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili.

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inaendelea kukutana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha inaweka mikakati ya Utekelezaji wa Sera na Mipango mbalimbali ya kutoa huduma kwa wananchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...