Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Hussein Ali Mwinyi , leo Mei 3 , 2022 amejumuika pamoja na Wananchi  katika Baraza la Eid El Fitri lililofanyika kwenye Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani mjini Zanzibar.

Baraza la Eid Al Fitri  hufanyika kila baada ya  kukamilika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani

Eddi Mubaarak










 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...