Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Hussein Ali Mwinyi , leo Mei 3 , 2022 amejumuika pamoja na Wananchi katika Baraza la Eid El Fitri lililofanyika kwenye Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani mjini Zanzibar.
Baraza la Eid Al Fitri hufanyika kila baada ya kukamilika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani
Eddi Mubaarak
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...