Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Mhe. Daniel Sillo akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya na wataalam wake katika kikao kazi kati ya Sekta ya Ujenzi na Kamati hiyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti (hawapo pichani), katika kikao kazi kati ya Kamati hiyo na wataalam wa Wizara ya Ujenzi kilichofanyika jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...