Mwenyekiti wa kamati ya Habari Zanzibar Farouk Karim akizungumza na waandishi wa habari huko Ukumbi wa Skuli ya Uwandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma Kilimani kuhusu maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari duniani yanayotarajiwa kufanyika mei 22 katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul-wakil Kikwajuni Mjini Zanzibar.Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Massoud Othman anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo.

PICHA NA FAUZIA MUSSA MAELEZO – ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...