Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvumi, Livingstone
Lusinde, bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na kocha Msaidizi wa Namungo
FC, Jamhuri Kihwelu (Julio) kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei
23, 2022. Katikati ni Mbunge wa Mheza, Hamisi Mwinjuma. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI,
Ramadhan Kailima kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 23, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na walimu
na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Michaud ya Karatu
mkoani Arusha kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 23, 2022.
Mstari wa mbele kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Paresso.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...