Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde, bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na kocha Msaidizi wa Namungo FC, Jamhuri  Kihwelu (Julio) kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 23, 2022. Katikati ni Mbunge wa Mheza, Hamisi Mwinjuma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Ramadhan  Kailima kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Michaud ya Karatu mkoani Arusha kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei  23, 2022.  Mstari wa mbele kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Paresso. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...