
Daddy Chabade a.k.a Chabade ni msanii wa muziki kutoka nchini Rwanda ambaye harakati zake za kimuziki na maisha yake yameegamia nchini Finland.
Chabade ni msanii wa muziki, mwandishi wa nyimbo na pia ni mtu mwenye ndoto kubwa ya kufanya kazi na wasanii kutoka Afrika Mashariki ikiwemo nchini Tanzania bila kusahau watayarishaji wa muziki kutoka Tanzania.
Chabade baada ya kuachia ngoma yake ya TWIKA mwaka uliopita sasa amerejea tena naazi yake mpya ambayo ameipa jina la WINE.
Video ikiwa imeongozwa na Jayrder .
Tazama Video hapa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...