RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Sheikh Ali Rijali Mavua alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “Unguja kumtembelea leo 13-5-2022.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Rijali Mavua, alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo alipofika kumjulia hali yake na (kulia kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali na Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Rijali Mavua, alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo kumjulia hali yake.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...