Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifurahia ngoma ya Utamaduni ya asili ya Uganda katika Uwanja wa ndege wa Entebbe, mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo tarehe 11 Mei, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika Ikulu ya Entebbe mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo tarehe 11 Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika Ikulu ya Entebbe wakati akihitimisha ziara yake ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo tarehe 11 Mei, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika Ikulu ya Entebbe mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo tarehe 11 Mei, 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika Uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo tarehe 11 Mei, 2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...