Muuguzi Mkuu wa Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Devotha Namahala (kulia) akitoa ufafanuzi wa matumizi ya kifaa tiba ‘baby warmer’ na mashine ya oxygen kwa Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald alipotembelea hospitali ya Mkomaindo ili kujionea utendaji kazi wa vifaa vilivyotolewa na taasisi hiyo kwa ajii ya kusaidia matibabu ya watoto njiti hospitalini hapo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...