
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amesimikwa rasmi Uchifu na kutambulika kama Kilela Mhina (Mtetezi wa Wanyonge)

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akikabidhiwa vifaa maalum kukamilisha kuwa Chifu kutoka kwa Chifu wa Kanadi Wenceslaus Sem, Bariadi mkoani Simiyu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...