Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo  (hayupo pichani) akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa RUWASA Meatu Mhandisi George Massawe wakati akukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tanki la maji katika kata ya Isengwa wilayani Meatu mkoa wa Simiyu leo.Picha na MIchuzi Jr- MMG.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa RUWASA Meatu Mhandisi George Massawe mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tanki la maji katika kata ya Isengwa wilayani Meatu mkoa wa Simiyu leo.




Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wanaCCM na wananchi mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tanki la maji katika kata ya Isengwa wilayani Meatu mkoa wa Simiyu leo.

maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi waliojitokeza mara baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akikagua maendeleo ya ujenzi wa katika Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akishiriki ujenzi wa katika Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi waliojitokeza mara baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.


Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akihutubia wakazi waliojitokeza mara baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu. (Picha na Adam H.Mzee/ CCM Makao Makuu)





Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya CCM Kata ya Imalaseko wilayani Meatu.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wakazi wa shina namba 1 Mwandu Itinje wilayani Meatu mkoa wa Simiyu.




Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi wa kijiji cha Sanga Itinje waliojitokeza kumlaki wakati akiwasili wilayani Meatu mkoa wa Simiyu. (Picha na Adam H.Mzee/CCM Makao Makuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...