Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kamishina Jeneralli wa Jeshi la Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala (kushoto) wakati alipokagua kazi ya uwekaji alama za kubainisha la hifadhi penye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Wazifri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya uwekaji alama za kubainisha eneo la hifadhi lenye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Wazifri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...