Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma, Juni 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, Juni 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Muonekano wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake, Juni 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)







Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelzo kutoka kwa Katibu Mkuu Ikulu, Dkt. Moses Kusiluka kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma, Juni 9, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...