Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kuzindua rasmi Vitendea kazi vya uendelezaji wa kilimo katika Mashamba ya Miwa yaliyopo kwenye Kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar Bw. Seif Ali Seif mara baada ya kuzindua rasmi Vitendea kazi vya uendelezaji wa kilimo katika Mashamba ya Miwa yaliyopo kwenye Kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wafanyakazi wa Kiwanda cha Kagera Sugar wakati alipotembelea kiwanda hicho kilichopo Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Udege kuhusu uandaaji na uchakataji wa Miwa wakati alipotembelea kiwanda cha Kagera Sugar kilichopo Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanroad Mhandisi Rogatus Mativila kuhusu kukamilika kwa Daraja la Kitengule linalounganisha Wilaya ya Misenyi na Karagwe Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022. Mhe. Rais Samia anaendelea na ziara yake ya siku ya pili Mkoani Kagera kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoa kitambaa kuzindua rasmi Mtambo wa kuzalisha Umeme Megawati 20 katika Kiwanda Kagera Sugar Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022. Mhe. Rais Samia anaendelea na ziara yake ambayo ni siku ya pili Mkoani Kagera kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa kuzalisha Umeme Megawati 20 katika Kiwanda cha Kagera Sugar Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022. Mhe. Rais Samia anaendelea na ziara yake Mkoani humo kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Kiwanda cha Kagera Sugar Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022. Mhe. Rais Samia anaendelea na ziara yake ambayo ni siku ya pili Mkoani humo kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi na Wananchi pamoja na Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar mara baada ya kutembelea kiwanda hicho kilichopo Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kiwanda cha Kagera Sugar, mara baada ya kutembelea kiwanda hicho kilichopo Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mradi wa Maji Kyaka- Bunazi Wilayani Misenyi Mkoani Kagera tarehe 09 Juni, 2022. Mhe. Rais Samia anaendelea na ziara yake ya siku tatu Mkoani Kagera kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi. wa pili kulia ni Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...