Askofu Wolfgang John Pisa akiwa amelala kifudifudi katika Ibada ya kusimikwa kwake kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi iliyofanyika kwenye uwanja wa Ilulu mjini Lindi, Juni 26, 2022. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alishiriki katika Ibada hiyo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na baadhi ya viongozi walioshiriki katika Ibada ya kumsimika Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi Wolfgang John Pisa wakifuatilia ibada hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa Ilulu mjini Lindi, Juni 26, 2022. Kushoto ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Baadhi ya Mapadri walioshiriki katika Ibada ya kusimikwa Askofu Wolfgang John Pisa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi wakifauatilia Ibada hiyo kwenye uwanja wa Ilulu mjini Lindi, Juni 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Baadhi ya washiriki wa Ibada ya kusimikwa Askofu Wolfgang John Pisa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi wakifauatilia Ibada hiyo kwenye uwanja wa Ilulu mjini Lindi, Juni 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...