



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...