Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (kulia) akifurahia jambo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati) na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Angelina Mabula (Mb), bungeni jijini Dodoma.



Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, bungeni jijini Dodoma.



Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akiteta jambo na Mbunge wa Makete, Mhe. Festo Sanga, bungeni jijini Dodoma.



Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande, akiwasilisha mezani Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2022/2023, bungeni jijini Dodoma.

(Picha na Kitngo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango-Dodoma)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...