Mkaguzi wa Jeshi la Zima Moto Kiwanja ch Ndege cha Mpanda Said Simba akieleza kwa Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi (kushoto) shughuli zinazofanywa na jeshi hilo kiwanjani hapo, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea kiwanja hicho Mkoani Katavi.



Msimamizi wa kituo cha hali ya hewa katika kiwanja cha ndege cha Mpanda, Leonard Katwale akieleza kwa Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi namna moja ya kifaa cha hali ya hewa kinavyotumika, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea Kiwanja cha Ndege cha Mpanda, Mkoani Katavi.



Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi akimsikiliza Meneja Kiwanja cha Ndege cha Mpanda Jeff Shantiwa kuhusu vifaa mbalimbali vinavyotumika wakati wa uendeshaji wa kiwanja, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea kiwanja hicho Mkoani Katavi.



Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi akitoa maelekezo kwa Meneja Kiwanja cha Ndege cha Mpanda Jeff Shantiwa (kulia) na Msimamizi wa kituo cha hali ya hewa katika kiwanja cha ndege cha Mpanda, Leonard Katwale wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea kiwanja hicho Mkoani Katavi.



Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi katika picha ya pamoja Watendaji wanaofanya kazi katika Kiwanja cha Ndege cha Mpanda baada ya alipotembelea kiwanja hicho Mkoani Katavi.

(Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi)
 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...