*Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa.
PENGINE unaweza kudhani mashindano ya mwaka huu ni kama yamesusiwa na wachezaji, mataifa makubwa yanaanguka viwanjani. Mkeka wako wa UEFA Nations League umetusua au umechanika? Hizi hapa Odds bora wikiendi hii;

Uingereza kuitupa karata yake ndani ya Wembley kuchuana na Italia, maumivu ya kupoteza fainali ya Euro 2020 yanaweza kuwapa chachu vijana wa Southgate kupata alama tatu mbele ya Mancini? Pengine huu ukawa ni mchezo wa kulipiza kisasi au, kuendeleza kipigo. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.86 kwa Uingereza.

 

Kule Oslo, Norway watawaalika majirani zao, Sweden katika mchezo mwingine wa UEFA Nations League. Erling Haaland anaendelea kuonesha uwezo wake mkubwa wa kupachika magoli akiwa na timu ya Taifa, Sweden wameshapoteza michezo 2 ya awali, watatoboa mchezo wa 3? Ifuate Odds ya 2.11 kwa Norway kupitia Meridianbet.

 

Ni marudio ya fainali ya Kombe la Dunia 2018, Ufaransa uso kwa uso na Croatia. Mchongo upo hivi, toka walipocheza fainali 2018, viwango vya mataifa yote mawili vimebadilika sana. Huku ni kwenye mashindano ya Ulaya, lolote linaweza kutokea. Dau lako unaliweka kwa nani? Odds ya 1.51 ipo kwa Ufaransa.

 

Maliza mashindano ya kubashiri kwenye mchezo wa wababe, Ujerumani vs Italia. Unakumbuka enzi za Hitler na Mussolin? Ni vita ya falsafa ambayo imeendelea kudumu mpaka kwenye soka ndani na nje ya uwanja kwa mataifa haya. Sio rahisi kubashiri matokeo ya mchezo huu lakini, Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.76 kwa Ujerumani.

Bashiri Kistaarabu. Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya miaka 18.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...