Kaimu Meneja wa Kituo cha Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)kituo cha JNIA, Joseph Magida akitoa maelezo kwa waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali kuhusu namna ndege za kimataifa zinavyoweza kuhudumiwa na Waongozaji wa Ndege wakati wa ziara ya Waandishi wa habari waliotembelea kwenye kituo cha kuongozea Ndege pamoja na Rada katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) jijini Dar es Salaam
Afisa Mwongozaji Ndege Mkuu (TCAA) Godwin Kyejumba akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu huduma ya kuongoza Ndege zinazopanda na kushuka kwenye eneo linalozunguka Viwanja vikubwa ambapo wanatoa maelezo Maalumu kwa marubani kwa njia ya redio bila kuziona na baadhi ya Viwanja uziona kwa njia ya rada wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea kituo cha Kuongozea ndege pamoja na Rada katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mhandisi Mwandamizi wa Mitambo ya Kuongozea Ndege (TCAA), Kervin Mwakalobo akitoa  maelezo kwa waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali kuhusu kifaa cha kudhibiti na kuangazia mitambo ya kuongozea ndege iliyosimikwa katika TCAA Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam
Mhandisi Mwandamizi wa Mitambo ya Kuongozea Ndege(TCAA) Simon Kessy akitoa maelezo kwa waandishi wa Habari  kuhusu mitambo ya kunasa sauti wakati wa Kuongoza ndege waliotembelea kituo cha Kuongozea ndege kilichopo uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mitambo ya Kuongozea Ndege(TCAA) Mhandisi Kriston Mwala akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu kazi zinazofanywa na Rada wakati wa Ziara ya waandishi wa Habari  waliotembelea kituo cha Kuongozea ndege kilichopo uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Afisa Mwongozaji Ndege (TCAA) Godwin Monyi akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu huduma za kuongoza Ndege zinazotua, kuondoka na kutembea kwenye Uwanja ambapo huduma hii ufanywa kwa kuziona kwa macho wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea kituo cha Kuongozea ndege kilichopo uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaa
Muonekano wa Rada iliyopo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIC) jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...