Mkurugenzi wa Taasisi ya Zaina Foundation Zaituni Njovu akiwasilisha mada ya ukatili wa wanawake mtandaoni , wakati akitoa mafunzo ya kuwajengea uwelewa waandishi wa habari wanawake juu ya usalama mtandaoni ,huko Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.



Meneja wa Programu katika Taasisi ya Zaina Foundation, Farida akiwaelekeza washiriki wa mafunzo ya usalama mtandaoni baadhi ya programu zitakazowasaidia kuwaweka salama wakati wa matumizi ya mtandao ,huko Verde Mtoni Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...