Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha Mawaziri na Makatibu Wakuu, Ofisi ya Rais Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Waziri wa Fedha na Mipango pamoja na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi, kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Julai 28, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...