

Kamishna Msaidizi wa Kitengo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Irene Rugemalila, akitoa elimu kuhusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Sekta binafsi kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, jijini Dar es Salaam.

Msimamizi wa Fedha wa Kitengo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi(PPP), kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Mwaidi Araba akitoa elimu kuhusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Sekta binafsi kwa Bw. Avitus Mbona alipotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam jijini Dar es Salaam

Afisa Tehama kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Zuberi Msisi, akitoa elimu kuhusu Mfumo wa Kieletroniki wa Ulipiaji wa Huduma za Serikali (GePG) kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam jijini Dar es Salaam.
(Picha na WFM – DAR)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...