Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Simai
Mohamed Said akizungumza na Waandishi wa
Habari kuhusiana na Ziara alioifanya Mji mkongwe na kutoa Taarifa ya Uekezaji
katika Mji huo hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul-wakil
Kikwajuni Zanzibar.Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Simai
Mohamed Said akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari
kuhusiana na Ziara alioifanya Mji mkongwe na kutoa Taarifa ya Uekezaji katika
Mji huo hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul-wakil Kikwajuni
Zanzibar.Mwandishi wa Habari wa Star TV Abdalla Pandu
akiuliza maswali kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Simai Mohamed Said (hayupo pichani)wakati akizungumza na
Waandishi wa Habari kuhusiana na Ziara alioifanya Mji mkongwe na kutoa Taarifa
ya Uekezaji katika Mji huo hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss
Abdul-wakil Kikwajuni Zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...