Mhadhiri Mkongwe, Dkt. Azaveli Lwaitama akiwasilisha mada katika Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora unaoendelea jijini Dar es Salaam, kujadili masuala anuai ya elimu kimataifa. Katikati ni Mtaalam wa masuala ya Elimu Jumuishi, Dk. Dinah Mmbaga akishiriki katika mjadala huo.
Mshauri wa Masuala ya Elimu kutoka Oxfam, Bw. David Kobia (katikati) akiendesha moja ya mijadala katika Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora unaoendelea jijini Dar es Salaam
Watoa mada na wachambuzi wa mada anuai zinazowasilishwa katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) wakiwa katika mijadala kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Sehemu ya washiriki wakifuatilia mada anuai kwenye Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Washiriki wakizungumza katika mjadala kwenye moja ya mada zilizowasilishwa kwenye Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Washiriki wakizungumza katika mjadala kwenye moja ya mada zilizowasilishwa kwenye Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Washiriki wakizungumza katika mjadala kwenye moja ya mada zilizowasilishwa kwenye Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Watoa mada na wachambuzi wa mada anuai zinazowasilishwa katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) wakiwa katika mijadala kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Wazungumzaji mbalimbali wakiwasilisha mada zao katika siku ya pili ya Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kabla ya washiriki wa mkutano huo kuzijadili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.
Wazungumzaji mbalimbali wakiwasilisha mada zao katika siku ya pili ya Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Elimu Bora (International Quality Education Conference -IQEC) kabla ya washiriki wa mkutano huo kuzijadili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...