Mkuu wa wilaya ya Bunda Joshua Nassari wa nne kutoka kulia akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wadau waliosaidia mbio za Serengeti Migration marathon,wa kwanza kulia waliokaa ni Katibu wa Riadha Mkoa wa Mara Vedastus Makaranga,Meneja mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries Mara na Simiyu Jay Jay Mwarabu Gombanilla, Mwenyekiti wa riadha Mara Deogratias Misana,na wa kwanza kushoto ni Geofrey Werema muandaaji wa mbio,Said Babu Mwenyekiti wa rufaa riadha wilaya na Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara. Mbio hizo zilifanyika katika viwanja vya Sokoine Mugumu tarehe 30 Julai.

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Joshua Nassari kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dk Vicent Mshinji akimkabidhi mshindi wa mbio kilometa 10 Ivona Juma toka Serengeti


Haji Luli toka Mwanza mshindi wa mbio za Serengeti Marathon Migration Marathon kilometa 10 akielekea kumalizia.
Washiriki wa mbio za Serengeti Marathon wakijiandaa kukimbia kwenye viwanja vya Sokoine Mugumu tarehe 30 Julai.
Meneja Mauzo Kandaya Mara na Simiyu Kampuni ya Serengeti Brieweris Jay Jay Gambanilla akifafanua jambo kabla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za Serengeti Migration Marathon.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...