Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amekutana na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kujitambulisha leo Agosti 10,2022 ambapo ameomba kushirikiana kuijenga Dodoma yenye muonekano wa Kimataifa kutokana na kuwa ni Makao Makuu ya Nchi.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Godwin Nkanwa akitoa neno la kumkaribisha RC Senyamule na kuahidi CCM mkoa itampatia ushirikiano wa kutosha kuijenga Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya Mkoa wakisikiliza kwa makini wakati RC Senyamule akizungumza nao.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Godwin Nkanwa akitoa neno la kumkaribisha RC Senyamule na kuahidi CCM mkoa itampatia ushirikiano wa kutosha kuijenga Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya Mkoa wakisikiliza kwa makini wakati RC Senyamule akizungumza nao.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, RC Senyamule na viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma wakizungumza...
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...