.jpg)
Na Mwandishi wetu
NAIBU Waziri Wizara ya Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi , Ridhiwani Kikwete amesema Haiwi mwisho kusikiliza kero mbalimbali za migogoro ya ardhi mpaka tuseme sasa mwisho, kwa kupata suluhu la utatuzi wa migogoro hiyo.
Ameeleza Mzigo wa kusikiliza kero za Ardhi kwasasa unaendelea Morogoro ,na anaamini ipo siku kero hizo zitapungua.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...