Timu ya Tambaza Youth Academy  inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Mkoa wa Ilala itafanya Majaribio Kwa Wachezaji wanaotaka Kuichezea Timu hiyo Kwenye Ligi Daraja la Tatu inayotarajia kuanza Mwanzo mwa Mwezi wa Tisa .

Majaribio hayo yatafanyika katika Uwanja wa Msimbazi Rovers leo Jumatu na  kesho Jumanne kuanzia Saa Nane mchana hadi saaa Kumi Jioni.

Imetolewa na Mwenye Kiti wa Tambaza Youth Academy

MWINYI MADI TAMBAZA
0715 92 35 61

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...