Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Austria, mwenye makazi yake Nairobi, Kenya anayewakilisha Tanzania, Balozi Dkt. Christian Fellner (katikati) wakati alipokutana nae katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam, Agosti 25 2022. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ETEFA GmbH, inayojihusisha na utengenezaji wa magari yanayotumia gesi asilia na ujenzi wa miundombinu ya geni asilia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Austria, mwenye makazi yake Nairobi, Kenya anayewakilisha Tanzania, Balozi Dkt. Christian Fellner, wakati alipokutana nae katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam, Agosti 25 2022. ((Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...