


Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana leo Agosti 2, 2022 jijini Dar es salaam amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe.Chen Mingjian kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika maeneo mbalimbali ya Uhifadhi na uendelezaji Utalii hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...