Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipata maelezo juu ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Maandalio ya Mufindi kutoka kwa Mchungaji Dkt. Anthony Kipangula (kushoto) wakati wa hafla ya Changizo ya Sadaka ya ukamilishaji ujenzi wa Kanisa hilo ambao Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi alikuwa mgeni rasmi na kuwezesha kuchangisha zaidi ya shilingi za Kitanzania milioni 214.



Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Maandalio ya Mufindi wakishiriki Katika ibada hiyo iliyoambatana na harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa.



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipata maelezo juu ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Maandalio ya Mufindi kutoka kwa Mchungaji Dkt. Anthony Kipangula (kushoto) wakati wa hafla ya Changizo ya Sadaka ya ukamilishaji ujenzi wa Kanisa hilo ambao Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi alikuwa mgeni rasmi na kuwezesha kuchangisha zaidi ya shilingi za Kitanzania milioni 214.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...