Katibu wa Taasisi ya Habari Development Bernard James akielezea kuanza kwa maandalizi ya upandaji miti 2000 eneo la Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Dodoma utakaofadhiliwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Kunze akibadilishana mawazo na Afisa wa Jeshi aliyekuwa anasimamia maandalizi ya usafishaji wa eneo hilo linalotarajiwa kupwandwa miti 2000.

Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wakichoma moto majani.




James akiwa na Afisa wa Jeshi aliyekuwa anasimamia usafishaji wa eneo hilo pamoja na vijana wa JKT.





PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, James akielezea kuhusu maandalizi hayo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...