Katibu wa Taasisi ya Habari Development Bernard James akielezea kuanza kwa maandalizi ya upandaji miti 2000 eneo la Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Dodoma utakaofadhiliwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, James akielezea kuhusu maandalizi hayo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...