
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipitia kitabu chenye machapisho ya Mkutano Mkuu wa kwanza mpaka wa 12 wa Chama Cha Kikomunisti cha Vietman (CPV) pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kulia) mara baada ya kukabidhiwa na Balozi wa Vietnam nchini Komredi Nguyen Nam Tien (kushoto) katika Ofisi ya Katibu Mkuu, Ofisi Ndogo Lumumba, jijini Dar Es Salaam, Alhamis, Septemba 8, 2022.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi zawadi ya kitabu cha Chemchemi ya Fikra za Kimapinduzi Balozi wa Vietnam nchini Komredi Nguyen Nam Tien (kushoto) katika Ofisi ya Katibu Mkuu, Ofisi Ndogo Lumumba, jijini Dar Es Salaam, Alhamis, Septemba 8, 2022.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Balozi wa Viet Nam nchini Tanzania, Komredi Nguyen Nam Tien (kushoto) katika Ofisi ya Katibu Mkuu, Ofisi Ndogo Lumumba, jijini Dar Es Salaam, Alhamis, Septemba 8, 2022.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...