Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida, kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia, katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akimsikiliza Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia katika Kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akisalimiana na Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida, kabla ya mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia, yaliyofanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida, baada ya mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia, yaliyofanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...