Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipiga Kura kuchagua `Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 22.2022.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 22.2022.
aziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mikumi Denis Lazaro, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 22.2022.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi Maalum), George Mkuchika, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 22.2022
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...